Tuesday, 5 March 2019

JINSI YA KUTENGENEZA COFFEE SCRUB

*JINSI YA KUTENGENEZA COFFEE SCRUB*

*Mahitaji*

🍇¼ kikombe ya kahawa iliyosagwa

🍇½ kikombe ya mafuta ya nazi/olive oil extra virgin

🍇2 Tbs ya mdalasini wa unga au manjano

*JINSI YA KUFANYA*

Changanya mahitaji yote kwenye bakuli safi.

Osha mwili wako kwanza ili kuondoa uchafu kwenye ngozi kisha jikaushe na taulo

Sugua ukitumia scrub yako kwa kufuata mduara

Iache kwa dakika 15 kisha osha vizuri

Kama una sensitive skin hakikisha unasugua taratibu sana

Coffe ni kama exfoliator ambayo inasaidia kuondoa dead cells na itaiacha ngozi yako ikiwa laini ya kupendeza...

Mafuta ya nazi /olive yataipa unyevu ngozi yako na kuiacha ikiwa na afya na yenye mng'ao

Manjano na mdalasini vitaondoa bacteria wanaosababisha chunusi na kuiacha ngozi yako na ikipendeza zaid

6 comments:

  1. Inakaa kwa muda bila kuharibika?

    ReplyDelete
  2. Nataka kutoa ushuhuda kuhusu jinsi nilivyopona kutokana na Virusi vya Herpes. Miezi michache iliyopita nilikuwa na dalili kadhaa. Nilienda kumuona daktari na vipimo vingi vya damu vilifanywa kwangu, baadaye niliambiwa nilikuwa na Herpes. Daktari wangu aliniambia kwamba hakuna tiba ya Herpes. Nilijisikia vibaya, niliingia mtandaoni nikitafuta tiba inayowezekana ya Virusi vya Herpes, niliona chapisho la Dkt. Dawn, daktari wa mitishamba anayewasaidia watu kupona kutokana na Herpes. Saratani. VVU na mengineyo. Niliwasiliana naye na kumwambia jinsi ninavyohisi. Alisema dawa yake ya mitishamba inaweza kuniponya. Alinitumia dawa kupitia huduma ya utoaji wa UPS na nilipokea dawa siku 6 baada ya kuituma, nilichukua dawa kama alivyoniagiza. Kabla sijakamilisha dawa dalili zilisimama. Nilienda kwa daktari na kufanya kipimo kingine cha damu, cha kushangaza nilikuwa hasi. Sijapata dalili tena. Dkt. Dawn ni mzuri na unaweza
    kuwasiliana kwenye WhatsApp: +2349046229159
    Gmail ( dawnacuna314@gmail.com )

    Ikiwa unahitaji dawa za mitishamba kutibu magonjwa yoyote sugu au ya zinaa kama.
    HERPES.
    SARATANI.
    VVU/UKIMWI na zaidi

    ReplyDelete

COMMENTS/MAONI AU USHAURI

MATANGAZO